PSAUME 121:7

PSAUME 121:7

# Posté le mardi 30 août 2005 16:47

Romains 8:29-35

Romains 8:29-35

# Posté le vendredi 12 août 2005 16:37

Ameniweka huru kweli!!!!

Ameniweka huru kweli!!!!

Nyimbo za wokovu (n°40)

1. Ameniweka huru kweli, naimba sasa: Haleluya!
Kwa musalaba nimepata, kutoka katika utumwa.

Refrai:
Nimeokoka nafurahi! Na dhambi zangu zimetoka.
Nataka kumtumikia Mwokozi wangu siku zote.

2. Zamani nilifungwa sana, kwa minyororo ya Shetani,
nikamwendea Bwana Yesu, akaniweka huru kweli.

3. Neema kubwa, nilipata kuaca njia ya mauti.
Na nguvu ya wokovu huo, yanichukuasiku zote.

4. Na siku moja nitafika, mbinguni kwake Mungu wangu.
Milele nitamhimidi, na kumwimbia kwa shukrani.

# Posté le lundi 08 août 2005 08:21

Modifié le lundi 08 août 2005 09:09

Jeremi 29:11

Jeremi 29:11

# Posté le lundi 08 août 2005 07:54

God is goog all the time!!!

God is goog all the time!!!

# Posté le lundi 08 août 2005 07:46